YANGA WALIVYOWASILI LAGOS KUIVAA RIVERS UNITED JUMAPILI
WACHEZAJI wa Jesus Moloko (kushoto) na Fiston Kalala Mayele (kulia) baada ya kuwasili Jijini Lagos nchini Nigeria leo kwa ajili ya mchezo na wenyeji, Rivers United Jumapili. Yanga itamenyana na Rivers katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika Jumapili Uwanja wa Godswill Akpabio International mjini Uyo huko Akwa Ibom Kusini mwa Nigeria, kabla ya timu hizo kurudiana Aprili 30 Dar es Salaam. GONGA HAPA KUTAZAMA VIDEO
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Coach Paul Put’s reaction on the CHAN 2024 Draw
-
Uganda Cranes Head Coach Paul Joseph Put expects no pushovers at the CAF
TotalEnergies African Nations Championship (CHAN) KE.TZ.UG 2024. The gaffer
was ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment