• HABARI MPYA

    Tuesday, April 25, 2023

    BODI YA FILAMU YASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA KOREA KUSINI


    WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt.Pindi Chana @pindi.chana akishuhudia utiaji saini wa Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na Taasisi ya Mashirikiano Kimataifa (BFIC) kutoka Korea Kusini leo Aprili 24, 2023 Mtumba jijini Dodoma.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BODI YA FILAMU YASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA KOREA KUSINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top