Mabao ya Tanzania Prisons yamefungwa na Jeremiah Juma dakika ya tatu, Samson Mbangula dakika ya 68 na Edwin Barua dakika ya 75, wakati la Geita Gold limefungwa na Juma Luizio dakika ya 83.
Kwa matokeo hayo, Tanzania Prisons inafikisha pointi 31 na kusogea nafasi ya tisa, wakati Geita Gold inabaki na pointi zake 37 nafasi ya tano baada ya wote kucheza mechi 27.
0 comments:
Post a Comment