• HABARI MPYA

    Wednesday, August 03, 2022

    SHABIKI NAMBA MOJA WA AZAM FC NCHINI MISRI


    MTUNZA Vifaa wa Azam FC, Yusuf Nzawila akimkabidhi zawadi ya jezi shabiki kijana mdogo Mmisri mjini Gunna nchini Misri, ambaye amekuwa akihudhuria mazoezi ya timu hiyo mara kwa mara.
    Azam FC inaendelea na mazoezi katika kambi yake Gunna nchini Misri kujiandaa na msimu mpya – na ikiwa huko imecheza mechi moja tu ya kirafiki na kuchapwa 1-0 na wenyeji, Wadi Degla.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHABIKI NAMBA MOJA WA AZAM FC NCHINI MISRI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top