MTUNZA Vifaa wa Azam FC, Yusuf Nzawila akimkabidhi zawadi ya jezi shabiki kijana mdogo Mmisri mjini Gunna nchini Misri, ambaye amekuwa akihudhuria mazoezi ya timu hiyo mara kwa mara.
Azam FC inaendelea na mazoezi katika kambi yake Gunna nchini Misri kujiandaa na msimu mpya – na ikiwa huko imecheza mechi moja tu ya kirafiki na kuchapwa 1-0 na wenyeji, Wadi Degla.
0 comments:
Post a Comment