TIMU ya Simba Queens imeanza vyema michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati kwa Wanawake baada ya kuichapa Garde Republicaine ya Djibouti mabao 6-0 jana Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Simba Queens katika mchezo huo wa Kundi B yamefungwa na Fallone Pambani, Joelle Bukuru na Asha Djafar mawili kama Olaiya Barakat.
0 comments:
Post a Comment