// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA QUEENS YAANZA VYEMA CECAFA, YASHINDA 6-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA QUEENS YAANZA VYEMA CECAFA, YASHINDA 6-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, August 15, 2022

    SIMBA QUEENS YAANZA VYEMA CECAFA, YASHINDA 6-0


    TIMU ya Simba Queens imeanza vyema michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati kwa Wanawake baada ya kuichapa Garde Republicaine ya Djibouti mabao 6-0 jana Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    Mabao ya Simba Queens katika mchezo huo wa Kundi B yamefungwa na Fallone Pambani, Joelle Bukuru na Asha Djafar mawili kama Olaiya Barakat.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA QUEENS YAANZA VYEMA CECAFA, YASHINDA 6-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top