WENYEJI. Simba SC wameanza vyema Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Geita Gold usiku huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba SC leo yamefungwa na winga Mghana, Augustine Okrah dakika ya 37 na Wazambia, mshambuliaji, Moses Phiri dakika ya 61 na kiungo Clatous Chama kwa penalti dakika ya 81. Ushindi ni sawa na kupoza maumivu kwa mashabiki wa timu hiyo baada ya kuchapwa 2-1 na watani, Yanga katika mechi ya Ngao ya Jamii Jumamosi hapo hapo Mkapa.
Yaani mwakauu yanga wajiandae kupokea kichapo wasione wameshinnda kwenye ngao ya isani sisi tumewaachia tu ''idrisa rashidi akalama nikiwa mnolela Lind
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
1 comments:
Yaani mwakauu yanga wajiandae kupokea kichapo wasione wameshinnda kwenye ngao ya isani sisi tumewaachia tu ''idrisa rashidi akalama nikiwa mnolela Lind
Post a Comment