KLABU ya Geita Gold imejiimarisha kwa kusajili wachezaji wawili wazoefu, kiungo Mrundi Saido Ntabanzokiza na mshambuliaji mzawa, Juma Luizio. Ntibanzokiza anajiunga na Geita Gold baada ya misimu miwili ya kuichezea Yanga, wakati Luizio anatokea Mbeya City.
0 comments:
Post a Comment