• HABARI MPYA

    Friday, August 19, 2022

    AISHI NA KAKOLANYA WOTE WAITWA TAIFA STARS


    MAKIPA wawili wa Simba, Aisha Salum Manula na Beno David Kakolanya wamejumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) dhidi ya Uganda.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AISHI NA KAKOLANYA WOTE WAITWA TAIFA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top