WENYEJI, Arsenal jana wameichapa Fulham FC mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates Stadium Jijijni London. Mabao ya Arsenal yamefungwa Martin Odegaard dakika ya 56 na Gabriel Magalhaes dakika ya 85, wakati la Fulham limefungwa na Aleksandar Mitrović dakika ya 56. The Gunners wanafikisha pointi 12 baada ya kushinda mechi zote nne na sasa wanaongoza Ligi kwa pointi mbili zaidi ya Manchester City.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment