BENKI ya CRDB imetoa udhamini kwa vigogo wote wa soka nchini, Simba na Yanga kuelekea matamasha yao ya Siku ya Mwananchi Jumamosi na Simba Day Jumatatu.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Abdulmajid Nsekela akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 25 kwa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez kwa ajili ya udhamini wa Simba Day.
0 comments:
Post a Comment