BENKI ya CRDB imetoa udhamini kwa vigogo wote wa soka nchini, Simba na Yanga kuelekea matamasha yao ya Siku ya Mwananchi Jumamosi na Simba Day Jumatatu.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Abdulmajid Nsekela akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 25 kwa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez kwa ajili ya udhamini wa Simba Day.
Makamu wa Rais Yanga SC na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Wiki ya Mwananchi Arafat Haji na Mkuu wa Kitengo cha Kadi CRDB Farid Seif kwenye picha ya pamoja baada ya kusaini mkataba wa udhamini kwenye Wiki Ya Mwananchi 2022.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment