Mabao ya Tanzania Prisons yamefungwa na Ismail Mgunda dakika ya pili kwa penalti na Jeremiah Juma dakika ya sita, wakati la Dodoma Jiji limefungwa na Hassan Mwaterema dakika ya 18.
Ni ushindi wa kwanza kwa Prisons baada ya kuchapwa 1-0 na wenyeji, Singida Big Stars kwenye mechi ya kwanza, wakati kwa Dodoma Jiji ni kipigo cha pili baada ya kuchapwa 3-1 na Mbeya City hapo hapo LITI.
0 comments:
Post a Comment