• HABARI MPYA

    Wednesday, August 31, 2022

    SIMBA SC YACHAPWA 1-0 NA EL HILAL SUDAN


    KLABU ya Simba imekamilisha mechi zake za kirafiki nchini Sudan kwa kuchapwa 1-0 na wenyeji, El Hilal usiku huu Uwanja wa El Hilal mjini Khartoum.
    Bao pekee la El Hilal limefungwa na John Mano dakika ya 62 na kwa matokeo hayo wanamaliza na pointi sita, baada ya kuifunga na Asante Kotoko ya Ghana 5-0, timu ambayo ilifungwa 4-2 na Simba.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YACHAPWA 1-0 NA EL HILAL SUDAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top