Mwanzo > YANGA > REFA WA YANGA NA COASTAL ARUSHA AFUNGIWA COASTAL UNION HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA YANGA REFA WA YANGA NA COASTAL ARUSHA AFUNGIWA REFA Raphael Ikambi wa Morogoro ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mizinguko mitatu kufuatia kushindwa kutafsiri kanuni kwenye kati ya Coastal Union na Yanga Agosti 21, Uwanja wa Sheikh Amri Abied Jijini Arusha. Tuesday, August 30, 2022 COASTAL UNION HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA YANGA
0 comments:
Post a Comment