// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
TIMU NNE KUWANIA NGAO YA JAMII KUANZIA MWAKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINETIMU NNE KUWANIA NGAO YA JAMII KUANZIA MWAKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BODI ya Ligi imefanya marekebisho ya kanuni kadhaa ikiwemo ya mchezo wa Ngao ya Jamii sasa kushirikisha timu nne. Taarifa ya Bodi imesema timu tatu zilizomaliza nafasi ya juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zitaungama na bingwa wa Azam Sports Federation Cup (ASFC) katika shindano hilo. Lakini kama bingwa wa ASFC atakuwa miongoni mwa timu zilizomaliza nafasi tatu za juu kwenye Ligi Kuu, basi mshindi wa nne wa Ligi hiyo pia atashiriki Ngao ya Jamii.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment