Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Rashid Chambo aliyejifunga dakika ya 26, Sixtus Sabilo dakika ya 42 na Eliud Ambikile dakika ya 63, wakati la Dodoma Jiji limefungwa na Paul Peter dakika ya 18.
MBEYA CITY YAANZA NA MOTO LIGI KUU, YAICHAPA DODOMA JIJI 3-1
Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Rashid Chambo aliyejifunga dakika ya 26, Sixtus Sabilo dakika ya 42 na Eliud Ambikile dakika ya 63, wakati la Dodoma Jiji limefungwa na Paul Peter dakika ya 18.
0 comments:
Post a Comment