WENYEJI, Arsenal jana wamepata ushindi wa pili mfululizo katika Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Leicester City 4-2 Uwanja wa Emirates Jijini London. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 23 na 35, Granit Xhaka dakika ya 55 na Gabriel Martinelli dakika ya 75, wakati ya Leicester yamefungwa na William Saliba aliyejifunga dakika ya 53 na James Maddison dakika ya 74.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment