// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAPINDUZI BALAMA AJIUNGA NA MTIBWA SUGAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAPINDUZI BALAMA AJIUNGA NA MTIBWA SUGAR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, August 03, 2022

    MAPINDUZI BALAMA AJIUNGA NA MTIBWA SUGAR


    ALIYEKUWA kiungo wa Yanga SC, Balama Mapinduzi amejiunga na mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Mtibwa Sugar.
    Pamoja na Mapinduzi, mchezaji wa zamani wa Mbao FC ya Mwanza, wengine wapya waliotambulishwa Mtibwa ni beki Mkongo, Paschal Kitenge kutoka Coastal Union ya Tanya.
    Wengine ni kipa Mohamed Makaka kutoka Ruvu Shooting, winga Charles Ilamfya kutoka KMC na beki Iddi Mobby kutoka Polisi Tanzania.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAPINDUZI BALAMA AJIUNGA NA MTIBWA SUGAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top