KATIKA kujiandaa na mchezo wao ujao wa Ligi Kuu dhidi ya mabingwa watetezi, Yanga SC – timu ya Azam FC jana imelazimishwa sare ya bila kufungana na wenyeji, Taifa Jang'ombe Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Timu hiyo ya kocha Mmarekani mzaliwa wa Somalia, Abdihamid Moallin anayesaidiwa na jopo la Waspaniola itashuka tena dimbani keshokutwa Uwanja wa nyumbani wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam kumenyana na Arta Solar ya Djibouti kabla ya kuivaa Yanga wiki ijayo.
0 comments:
Post a Comment