// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA QUEENS YAENDELEZA UBABE KLABU BINGWA WANAWAKE AFRIKA MASHARIKI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA QUEENS YAENDELEZA UBABE KLABU BINGWA WANAWAKE AFRIKA MASHARIKI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, August 17, 2022

    SIMBA QUEENS YAENDELEZA UBABE KLABU BINGWA WANAWAKE AFRIKA MASHARIKI


    TIMU ya Simba Queens imeendeleza wimbi la ushindi katika Klabu Bingwa ya Wanawake Afrika Mashariki na Kati baada ya kuichapa She Corporate ya Uganda 2-0 jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
    Mabao ya Simba Queens leo yamefungwa na Vivien Aquino Corazone dakika ya 21 na Pambani Kuzoya dakika ya 61 huo ukiwa ushindi wa pili kwenye Kundi B baada ya awali kuichapa Garde Republicaine ya Djibouti 6-0 Jumatatu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA QUEENS YAENDELEZA UBABE KLABU BINGWA WANAWAKE AFRIKA MASHARIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top