// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SIMBA QUEENS YAENDELEZA UBABE KLABU BINGWA WANAWAKE AFRIKA MASHARIKI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESIMBA QUEENS YAENDELEZA UBABE KLABU BINGWA WANAWAKE AFRIKA MASHARIKI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SIMBA QUEENS YAENDELEZA UBABE KLABU BINGWA WANAWAKE AFRIKA MASHARIKI
TIMU ya Simba Queens imeendeleza wimbi la ushindi katika Klabu Bingwa ya Wanawake Afrika Mashariki na Kati baada ya kuichapa She Corporate ya Uganda 2-0 jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mabao ya Simba Queens leo yamefungwa na Vivien Aquino Corazone dakika ya 21 na Pambani Kuzoya dakika ya 61 huo ukiwa ushindi wa pili kwenye Kundi B baada ya awali kuichapa Garde Republicaine ya Djibouti 6-0 Jumatatu.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment