Mabao ya Azam FC yamefungwa na mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube dakika ya 17 na chipukizi Tepsie Evans dakika ya 58 baada ya Kagera Sugar kutangulia na bao la Anuary Jabir dakika ya 10.
AZAM FC YATOKA NYUMA KUICHAPA KAGERA SUGAR 2-1 CHAMAZI
Mabao ya Azam FC yamefungwa na mshambuliaji Mzimbabwe, Prince Dube dakika ya 17 na chipukizi Tepsie Evans dakika ya 58 baada ya Kagera Sugar kutangulia na bao la Anuary Jabir dakika ya 10.
0 comments:
Post a Comment