• HABARI MPYA

    Friday, August 05, 2022

    PITSO MGENI WA YANGA, NABI AONGEZA MKATABA JANGWANI



    ALIYEWAHI kuwa kocha wa Mamelodi Sundowns ya kwao, Afrika Kusini na Al Ahly ya Misri kwa mafanikio, Pitso Mosimane amealikwa na Yanga kishiriki Wiki ya Mwananchi.
    Mosimane amekwishawasili nchini na mapema kesho ataendesha mafunzo ya soka ya watoto, kabla ya kuzungumza na Waandishi wa Habari.
    Wakati huo huo kocha Mtunisia, Nasredine Nabi ameongeza mkataba wa kuendelea na kazi Yanga.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PITSO MGENI WA YANGA, NABI AONGEZA MKATABA JANGWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top