• HABARI MPYA

    Wednesday, August 31, 2022

    MORRISON NA BIGIRIMANA WAFUNGA YANGA YAICHAPA KMC 2-1 KIGAMBONI


    MABINGWA wa Tanzania, Yanga jana wameichapa KMC 2-1 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Avic Town, Somangira, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
    Mabao ya Yanga yamefungwa na winga Mghana, Bernard Morrison na kiungo Mrundi, Gael Bigirimana, wakati la KMC limefungwa na Sadallah Lipangile.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MORRISON NA BIGIRIMANA WAFUNGA YANGA YAICHAPA KMC 2-1 KIGAMBONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top