• HABARI MPYA

    Friday, February 05, 2021

    YANGA SC KUMENYANA NA AFRICAN SPORTS YA TANGA KATIKA MECHI YA KIRAFIKI KESHO CHAMAZI


    VIGOGO, Yanga SC kesho watamenyana na maswahiba wao kutoka Tanga, Africans Sports ya Daraja la Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex Chamazi, kuanzia Saa 1:00.
    Viingilio katika mchezo huo ni Sh. 3,000 mzunguko na Sh. 5,000 kwa VIP. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC KUMENYANA NA AFRICAN SPORTS YA TANGA KATIKA MECHI YA KIRAFIKI KESHO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top