• HABARI MPYA

    Tuesday, February 09, 2021

    YANGA SC KUMENYANA NA KENGOLD FC YA MBEYA, SIMBA NA AFRICAN LYON RAUNDI YA NNE ASFC

    DROO ya Raundi ya Nne ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) imefanyika leo na mabingwa watetezi, Simba SC watamenyana na African Lyon, zote za Dar es Salaam.
    Vigogo wengine, Yanga SC watamenyana na Kengold FC y
    a Daraja la kwanza kutoka mkoani Mbeya, wakati Azam FC watamenyana na Mbuni FC ya Daraja Pili kutoka Arusha.


    DROO KAMILI RAUNDI YA NNE ASFC: 
    👉73 Mtibwa Sugar vs JKT Tanzania 
    👉74 Namungo FC vs Mbeya City 
    👉75 Mwadui FC vs Gwambina FC 
    👉76 Coastal Union vs Ihefu FC 
    👉77 Arusha FC vs Mashujaa FC 
    👉78 Rhino Rangers vs Tunduru Korosho 
    👉79 Kagera Sugar vs Eagle Stars 
    👉80 African Lyon vs Simba SC 
    👉81 Mbao FC vs Ruvu Shooting 
    👉82 Yanga SC vs Kengold FC 
    👉83 Polisi Tanzania vs Kwamndolwa 
    👉84 Dodoma FC vs Kipigwe FC 
    👉85 KMC vs Kurugenzi FC 
    👉86 Azam FC vs Mbuni FC 
    👉87 Sahara All Stars vs Tz Prisons 
    👉88 Biashara United vs Transit Camp
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC KUMENYANA NA KENGOLD FC YA MBEYA, SIMBA NA AFRICAN LYON RAUNDI YA NNE ASFC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top