TIMU ya Leicester City jana imeichapa Liverpool 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power.
Foxes walipata mabao yote ndani ya dakika ya saba, wafungaji James Maddison dakika ya 78, Jamie Vardy dakika ya 81 na Harvey Barnes dakika ya 85, wakati la Liverpool lilifungwa na Mohamed Salah dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment