• HABARI MPYA

    Friday, February 26, 2021

    AUBAMEYANG APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA BENFICA 3-2


    TIMU ya Arsenal imefanikiwa kwenda Hatua ya 16 Bora UEFA Europa League baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Benfica jana Uwanja wa Georgios KaraiskákiJijini Piraeus.
    Arsenal inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza.
    Mabao ya Arsenal yalifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang mawili dakika ya 21 na 87 na Kieran Tierney dakika ya 67, wakati ya Benfica yamefungwa na Diogo Gonçalves dakika ya 43 na Rafa Silva dakika ya 61. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AUBAMEYANG APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA BENFICA 3-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top