MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe Lottin jana amepiha hat trick kwa mabao yake ya dakika za 32, 65 na 85 kuiwezesha Paris Saint-Germain kuichapa Barcelona mabao 4-1.
Katika mchezo huo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliofanyika Uwanja wa Camp Nou, bao lingine la PSG lilifungwa na mshambuliaji Mtaliano, Moise Bioty Kean 70, wakati la Barcelona lilifungwa na Lionel Messi kwa penalti dakika ya 27PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment