// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN CITY WAZIDI KUPAA ENGLAND BAADA YA KUIPIGA EVERTON 3-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN CITY WAZIDI KUPAA ENGLAND BAADA YA KUIPIGA EVERTON 3-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN CITY WAZIDI KUPAA ENGLAND BAADA YA KUIPIGA EVERTON 3-1
TIMU ya Manchester City jana imeshinda 3-1 dhidi ya Everton FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Goodison Park. Mabao ya Man City yalifungwa na P. Foden dakika ya 32, R. Mahrez dakika ya 63 na Bernardo Silva dakika ya 77, wakati la Everton lilifungwa na Richarlison dakika ya 37. Kwa ushindi huo, Manchester City wamefikisha pointi 56 na sasa inaongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ya Manchester United wanaofuatia baada ya timu zote kucheza mechi 24PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment