• HABARI MPYA

    Sunday, February 14, 2021

    AC MILAN NA JUVENTUS ZOTE ZAPIGWA SERIE A, INTER UWANJANJI LEO


    TIMU zote zinazoshika nafasi za juu katika Serie A jana hazikushinda, huku vinara AC Milan wakichapwa 2-0 na Spezia baada ya kushinda mechi mbili mfululizo, huku Napoli wakishinda mechi ya kwanza kati ya nne walipoichapa Juventus ya Cristiano Ronaldo 1-0.
    Inter Milan wanaweza kupanda kileleni kama watashinda leo dhidi ya Lazio uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milan. Kwa sasa AC Milan inaongoza kwa pointi mbili zaidi ya Inter (49-47) ingawa imecheza mechi moja zaidi (22-21) 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AC MILAN NA JUVENTUS ZOTE ZAPIGWA SERIE A, INTER UWANJANJI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top