TIMU zote zinazoshika nafasi za juu katika Serie A jana hazikushinda, huku vinara AC Milan wakichapwa 2-0 na Spezia baada ya kushinda mechi mbili mfululizo, huku Napoli wakishinda mechi ya kwanza kati ya nne walipoichapa Juventus ya Cristiano Ronaldo 1-0.
Inter Milan wanaweza kupanda kileleni kama watashinda leo dhidi ya Lazio uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milan. Kwa sasa AC Milan inaongoza kwa pointi mbili zaidi ya Inter (49-47) ingawa imecheza mechi moja zaidi (22-21) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment