// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AC MILAN NA JUVENTUS ZOTE ZAPIGWA SERIE A, INTER UWANJANJI LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAC MILAN NA JUVENTUS ZOTE ZAPIGWA SERIE A, INTER UWANJANJI LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AC MILAN NA JUVENTUS ZOTE ZAPIGWA SERIE A, INTER UWANJANJI LEO
TIMU zote zinazoshika nafasi za juu katika Serie A jana hazikushinda, huku vinara AC Milan wakichapwa 2-0 na Spezia baada ya kushinda mechi mbili mfululizo, huku Napoli wakishinda mechi ya kwanza kati ya nne walipoichapa Juventus ya Cristiano Ronaldo 1-0. Inter Milan wanaweza kupanda kileleni kama watashinda leo dhidi ya Lazio uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milan. Kwa sasa AC Milan inaongoza kwa pointi mbili zaidi ya Inter (49-47) ingawa imecheza mechi moja zaidi (22-21) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment