// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BINGWA MTETEZI, SOFIA KENIN ATUPWA NJE AUSTRALIAN OPEN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBINGWA MTETEZI, SOFIA KENIN ATUPWA NJE AUSTRALIAN OPEN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BINGWA MTETEZI, SOFIA KENIN ATUPWA NJE AUSTRALIAN OPEN
BINGWA mtetezi upande wa wanawake, Sofia Kenin ametupwa nje ya michuano ya Australian Open baada ya kufungwa seti mbili mfululizo (6-3, 6-2)ndani ya nusu saa kwenye mechi ya raundi ya Pili na Kaia Kanepi wa Estonia mapema leo Jijini Mebourne. Mkongwe wa Hispania, Feliciano Lopez akicheza mashindano yake ya 19 ya Australian Open amemtoa Mtaliano Lorenzo Sonego kwa seti 3-2 (5-7, 3-6, 6-3, 7-5, 6-4) katika mchezo uliodumu kwa saa tatu na dakika 18 sasa atamenyana na Andrey Rublev wa Urusi katika Raundi ya tatuPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment