// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED YALAZIMISHWA SARE YA 3-3 NA EVERTON OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED YALAZIMISHWA SARE YA 3-3 NA EVERTON OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED YALAZIMISHWA SARE YA 3-3 NA EVERTON OLD TRAFFORD
TIMU ya Manchester United imezidi kujiondoa kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kulazimishwa sare ya 3-3 na Everton jana Uwanja wa Old Trafford – na sasa inazidiwa pointi mbili na vinara, Manchester City (47-45) ambao pia wana mechi mbili mkononi. Mabao ya United yalifungwa na Edinson Cavani dakika ya 24, Bruno Fernandes dakika ya 45 na Scott McTominay dakika ya 70, wakati ya Everton yamefungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 49, James Rodríguez dakika ya 52 na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 90 na usheiPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment