// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
POULSEN APIGA MBILI RB LEIPZIG YASHINDA 4-0 UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEPOULSEN APIGA MBILI RB LEIPZIG YASHINDA 4-0 UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
POULSEN APIGA MBILI RB LEIPZIG YASHINDA 4-0 UJERUMANI
MSHAMBULIAJI Mdenmark mwenye asili ya Tanzania, Yussuf Poulsen jana amefunga mabao mawili RB Leipzig ikiichapa Bochum 4-0 na kutinga Robo Fainali ya Kombe la Ujerumani, DFB-Pokal. Leipzig ambayo sasa itakutana na Borussia Dortmund – kwa pamoja hizo ni timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba taji hilo baada ya Bayern Munich kutolewa Raundi ya Pili
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment