MSHAMBULIAJI Mdenmark mwenye asili ya Tanzania, Yussuf Poulsen jana amefunga mabao mawili RB Leipzig ikiichapa Bochum 4-0 na kutinga Robo Fainali ya Kombe la Ujerumani, DFB-Pokal.
Leipzig ambayo sasa itakutana na Borussia Dortmund – kwa pamoja hizo ni timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba taji hilo baada ya Bayern Munich kutolewa Raundi ya Pili
0 comments:
Post a Comment