Mshambuliaji Danny Welbeck akiruka kuifungia kwa kichwa Arsenal bao la kwanza dakika ya sita kabla ya kufunga na la tatu dakika ya 50 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la pili dakika ya 27 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers Rumors: HC Darvin Ham Expected to Be Fired After NBA Playoff Loss to
Nuggets
-
The future for Darvin Ham as head coach of the Los Angeles Lakers doesn't
look good in the wake of the team's first-round playoff loss to the Denver
Nuggets…
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment