Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akimruka beki wa Stoke City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Bet365 timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Man United yalifungwa na Rashford dakika ya 45 na ushei na Romelu Lukaku dakika ya 57 wakati ya Stoke yamefungwa na Eric Maxim Choupo-Moting yote dakika za 43 na 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enzo Fernandez will MISS Chelsea's crunch clash against Man City despite
issuing grovelling apology to team-mates for cryptic Madrid comments - with
Liam Rosenior refusing to budge on two-match ban
-
Interviews conducted by Fernandez while away with the Argentina national
team led to Chelsea imposing a two-game ban on their vice-captain as they
believed...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment