Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akimruka beki wa Stoke City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Bet365 timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Man United yalifungwa na Rashford dakika ya 45 na ushei na Romelu Lukaku dakika ya 57 wakati ya Stoke yamefungwa na Eric Maxim Choupo-Moting yote dakika za 43 na 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ulster winners to face Tyrone in Sam Maguire groups with Derry to meet
runners-up
-
This year's Ulster champions will face Tyrone in the group stages of the
All-Ireland Senior Football Championship, while the runners-up will meet
Derry.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment