Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akimruka beki wa Stoke City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Bet365 timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Man United yalifungwa na Rashford dakika ya 45 na ushei na Romelu Lukaku dakika ya 57 wakati ya Stoke yamefungwa na Eric Maxim Choupo-Moting yote dakika za 43 na 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vinicius Jr stops fun and leaves Scots down... but are they out?
-
Scotland's party stops at the hands of Brazil in Miami, but might they
still find themselves in the last 32?
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment