Mshambuliaji wa Colombia, Radamel Falcao akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha timu yake dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Brazil jana Uwanja wa Metropolitano Roberto Melendez mjini Barranquilla katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Amerika Kusini, kufuatia Willian kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment