Mshambuliaji wa Colombia, Radamel Falcao akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha timu yake dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Brazil jana Uwanja wa Metropolitano Roberto Melendez mjini Barranquilla katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Amerika Kusini, kufuatia Willian kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside John Terry's growing property empire as star sells plans for pair of
Surrey mansions on exclusive estate for a cool £5 million
-
John Terry has pocketed more than £5 million after selling off plots for
two mansions he had planned to build, MailOnline can reveal.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment