Lionel Messi wa Argentina akikimbilia mpira dhidi ya Arquimedes Figuera wa Venezuela katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini jana Uwanja wa Estadio Monumental Antonio Vespucio Liberti mjini Buenos Aires, Argentina timu hizo zikitoka sare ya 1-1, wageni wakitangulia kwa bao la Jhon Murillo dakika ya 50 kabla ya Rolf Feltscher kujifunga dakika nne tu baadaye kuwapatia wenyeji bao la kusawazisha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stupid or valid? Did Brook's shot put Australia on the brink?
-
Harry Brook's dismissal put England on the brink of Ashes defeat but was
his reverse sweep stupid or valid?
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment