Lionel Messi wa Argentina akikimbilia mpira dhidi ya Arquimedes Figuera wa Venezuela katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini jana Uwanja wa Estadio Monumental Antonio Vespucio Liberti mjini Buenos Aires, Argentina timu hizo zikitoka sare ya 1-1, wageni wakitangulia kwa bao la Jhon Murillo dakika ya 50 kabla ya Rolf Feltscher kujifunga dakika nne tu baadaye kuwapatia wenyeji bao la kusawazisha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I want to industrialise Africa, not chase billions — Dangote
-
Africa's richest man and President of the Dangote Group, Aliko Dangote, has
said his greatest ambition is not to accumulate wealth but to leave a
lasting...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment