Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 27, 31 na 81 Manchester City ikishinda 6-0 dhidi ya wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 37, Nicolas Otamendi dakika ya 63 na Raheem Sterling dakika ya 89 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arundell scores hat-trick as England heap misery on Wales
-
A remorseless England pile misery and points on Wales as they began their
hunt for a first Six Nations title since 2020.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment