// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HII NDIYO RATIBA KAMILI YA MICHUANO YA NGAO TANGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HII NDIYO RATIBA KAMILI YA MICHUANO YA NGAO TANGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, August 02, 2023

    HII NDIYO RATIBA KAMILI YA MICHUANO YA NGAO TANGA


    HII ndio ratiba ya michuano ya Ngao ya Jamii inayotarajiwa kuanza Agosti 9 Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga ikishirikisha mabingwa watetezi, Yanga SC, Simba SC, Azam FC na Singida Fountain Gate.
    Yanga itafungua dimba na Azam FC Agosti 9, kabla ya Simba SC kucheza na Singida Fountain Gate Agosti 10 na washindi watakutana katika Fainali Agosti 13, mchezo ambao utatanguliwa mechi ya kusaka mshindi wa Tatu hapo hapo Mkwakwani.
     
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HII NDIYO RATIBA KAMILI YA MICHUANO YA NGAO TANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top