// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA NA YANGA NOVEMBA 5 LIGI KUU YA NBC TZ BARA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA NA YANGA NOVEMBA 5 LIGI KUU YA NBC TZ BARA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, August 07, 2023

    SIMBA NA YANGA NOVEMBA 5 LIGI KUU YA NBC TZ BARA



    RATIBA ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara imetoka leo na watani wa jadi, Simba na Yanga watakutana katika mechi ya mzunguko wa kwanza Jumapili ya Novemba 5, mwaka huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    Ligi Kuu itaanza Agosti 15, mwaka huu, mabingwa watetezi, Yanga wakifungua dimba na KMC Agosti 23 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
    Watani wao, Simba wataanzia Uwanja wa Manungu Complex, Turiani mkoani Morogoro Agosti 17, huku Azam FC wakianzia nyumbani Azam Complex dhidi ya Tabora United Agosti 16.
    Azam FC watacheza kwanza na Yanga Oktoba 25 kabla ya kumenyana na Simba SC Novemba 28 mechi zote zikipigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA YANGA NOVEMBA 5 LIGI KUU YA NBC TZ BARA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top