// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC YACHAPWA 2-1 NA BAHIR DAR LEO ETHIOPIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC YACHAPWA 2-1 NA BAHIR DAR LEO ETHIOPIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Azam FC imefungwa Mabao 2-1na wenyeji, Bahir Dar katika mchezo wake wa kwanza Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa Abebe Bikila mjini Addis Ababa, Ethiopia. Mabao yote ya Bahir Dar yamefungwa na Fitsum Gebremariam dakika ya 20 na 60, wakati bao pekee la Azam FC limefungwa na mshambuliaji wa wake Mkongo, Idris Ilunga Mbombo dakika ya 72. Timu hizo zitarudiana Agosti 25 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam na mshindi wa jumla atakwenda kumenyana na Club Africain ya Tunisia kuwania kuingia hatua ya makundi.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment