Mabao yote ya Bahir Dar yamefungwa na Fitsum Gebremariam dakika ya 20 na 60, wakati bao pekee la Azam FC limefungwa na mshambuliaji wa wake Mkongo, Idris Ilunga Mbombo dakika ya 72.
Timu hizo zitarudiana Agosti 25 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam na mshindi wa jumla atakwenda kumenyana na Club Africain ya Tunisia kuwania kuingia hatua ya makundi.
0 comments:
Post a Comment