// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); JKU YA KWANZA KUTOKA SALAMA KWA YANGA YA GAMONDI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE JKU YA KWANZA KUTOKA SALAMA KWA YANGA YA GAMONDI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, August 05, 2023

    JKU YA KWANZA KUTOKA SALAMA KWA YANGA YA GAMONDI


    JANA jioni Yanga SC ilicheza mechi ya kirafiki na kutoka sare ya bila kufungana na JKU ya Zanzibar Uwanja wa Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
    Ulikuwa mchezo wa pili wa kujipima kwa jana pekee kwa Yanga baada ya asubuhi kuibuka na ushindi wa 6-0 dhidi ya Friends Rangers.
    Kwa ujumla Yanga imecheza mechi nne za kujiandaa na msimu chini ya kocha mpya, Muargentina Miguel Angel Gamondi, nyingine mbili ikishinda 1-0 dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini na 10-0 dhidi ya Magereza ya Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JKU YA KWANZA KUTOKA SALAMA KWA YANGA YA GAMONDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top