• HABARI MPYA

    Tuesday, August 08, 2023

    WASIO NA LESENI MARUFUKU KUCHEZA NGAO YA JAMII TANGA


    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kwamba wachezaji ambao hawatakuwa wamekamilisha taratibu za usajili na kukabidhiwa leseni hawataruhusiwa kucheza mechi za Ngao ya Jamii zinazoanza kesho Jijini Tanga.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WASIO NA LESENI MARUFUKU KUCHEZA NGAO YA JAMII TANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top