• HABARI MPYA

    Wednesday, August 16, 2023

    KITAYOSCE YAFUTIWA ADHABU, KUIVAA AZAM FC NA KIKOSI KAMILI


    KLABU ya Kitayosce imefutiwa adhabu ya kutofanya usajili katika dirisha hili - hivyo iko huru kuwatumia wachezaji wake wote katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhido ya wenyeji, Azam FC.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KITAYOSCE YAFUTIWA ADHABU, KUIVAA AZAM FC NA KIKOSI KAMILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top