KMC walitangulia na bao la Rashid Chambo dakika ya 69, kabla ya mshambuliaji Mkongo, Fabrice Ngoye kuisawazishia Namungo FC kwa penalti dakika ya 80.
Huu ulikuwa mchezo wa kwanza katika msimu mpya kwa KMC, wakati Namungo mechi yao ya kwanza walifungwa 1-0 na JKT Tanzania hapo hapo Majaliwa.
0 comments:
Post a Comment