FEISAL APIGA HAT TRICK AZAM YAICHAPA KITAYOSCE 4-0
WENYEJI, Azam FC wameanza vyema Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kitayosce ya Tabora usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo uliodumu kwa dakika 18 tu, mabao ya Azam FC yamefungwa na kiungo Feisal Salum Abdallah matatu dakika za tatu, tisa na 13 huku lingine likifungwa na Prince Dube Mpumelelo dakika ya tano. Sababu za mechi hiyo kuishia dakika ya 18 ni Kitayosce kubaki na wachezaji watano uwanjani baada ya wawili kati ya saba walioanza kuumia, hivyo kwa mujibu wa kanuni refa akamaliza mchezo. Kitayosce ililazimika kuanza na wachezaji saba tu baada ya wengine wote kutokuwa na leseni za kuwaruhusu kucheza. VIDEO: HAT TRICK YA FEISAL DHIDI YA KITAYOSCE VIDEO: BAO LA PRINCE DUBE V KITAYOSCE VIDEO: UFAFANUZI WA BODI YA LIGI MECHI KUVUNJWA
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment