// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); GRACE MWAKAMELE AINGIA FAINALI NDONDI AFRIKA BAADA YA KUMDUNDA MSENEGAL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE GRACE MWAKAMELE AINGIA FAINALI NDONDI AFRIKA BAADA YA KUMDUNDA MSENEGAL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, August 04, 2023

    GRACE MWAKAMELE AINGIA FAINALI NDONDI AFRIKA BAADA YA KUMDUNDA MSENEGAL


    BONDIA wa kike, Mtanzania Grace Joseph Mwakamele amefanikiwa kuingia Fainali ya michezo ya Ngumi za Ridhaa Afrika baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Seynabou Ndiaye wa Senegal uzito wa Light Middle leo Jijini Yaounde, Cameroon.
    Kwa mujibu wa Rais wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania, Lukelo Willilo, sasa Grace ambaye ameweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kufika hatua hiyo, kesho katika Fainali atapambana na Alicida Panguane wa Msumbiji ambaye ni Bingwa mtetezi.
    Mtanzania mwingine, Yusuf Changalawe ameingia Nusu Fainali upande wa wanaume na atazipiga na Nathan Mbeli Langu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Konho (DRC).
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GRACE MWAKAMELE AINGIA FAINALI NDONDI AFRIKA BAADA YA KUMDUNDA MSENEGAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top