// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
GRACE MWAKAMELE AINGIA FAINALI NDONDI AFRIKA BAADA YA KUMDUNDA MSENEGAL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEGRACE MWAKAMELE AINGIA FAINALI NDONDI AFRIKA BAADA YA KUMDUNDA MSENEGAL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
GRACE MWAKAMELE AINGIA FAINALI NDONDI AFRIKA BAADA YA KUMDUNDA MSENEGAL
BONDIA wa kike, Mtanzania Grace Joseph Mwakamele amefanikiwa kuingia Fainali ya michezo ya Ngumi za Ridhaa Afrika baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Seynabou Ndiaye wa Senegal uzito wa Light Middle leo Jijini Yaounde, Cameroon. Kwa mujibu wa Rais wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania, Lukelo Willilo, sasa Grace ambaye ameweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kufika hatua hiyo, kesho katika Fainali atapambana na Alicida Panguane wa Msumbiji ambaye ni Bingwa mtetezi. Mtanzania mwingine, Yusuf Changalawe ameingia Nusu Fainali upande wa wanaume na atazipiga na Nathan Mbeli Langu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Konho (DRC).
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment