// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MTIBWA SUGAR YATOA SARE 1-1 NA COASTAL UNION MANUNGU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMTIBWA SUGAR YATOA SARE 1-1 NA COASTAL UNION MANUNGU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MTIBWA SUGAR YATOA SARE 1-1 NA COASTAL UNION MANUNGU
WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Coastal Unión ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Manungu Complex, Turiani mkoani Morogoro. Coastal Union walitangulia kwa bao la Ibrahim Ajibu dakika ya 70, kabla ya Kassim Haruna ‘Tiote’ kuisawazishia Mtibwa Sugar dakika ya 84, kila timu ikiokota pointi ya kwanza ndani ya mechi mbili baada ya wote kupoteza mechi za kwanza. Wakati Mtibwa Sugar ilifungwa 4-2 na Simba SC hapo hapo Manungu, kwa upande wao Coastal Unión walichapwa 2-1 na wenyeji, Dodoma Jiji Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment