Coastal Union walitangulia kwa bao la Ibrahim Ajibu dakika ya 70, kabla ya Kassim Haruna ‘Tiote’ kuisawazishia Mtibwa Sugar dakika ya 84, kila timu ikiokota pointi ya kwanza ndani ya mechi mbili baada ya wote kupoteza mechi za kwanza.
Wakati Mtibwa Sugar ilifungwa 4-2 na Simba SC hapo hapo Manungu, kwa upande wao Coastal Unión walichapwa 2-1 na wenyeji, Dodoma Jiji Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
0 comments:
Post a Comment