// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
NI AZAM FC WASHINDI WA TATU NGAO YA JAMII, SINGIDA CHALI MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINENI AZAM FC WASHINDI WA TATU NGAO YA JAMII, SINGIDA CHALI MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
NI AZAM FC WASHINDI WA TATU NGAO YA JAMII, SINGIDA CHALI MKWAKWANI
TIMU ya Azam FC imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu katika michuano ya timu nne ya Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Singida Fountain Gate leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Mabao ya Azam FC yamefungwa na nyota wake, mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube Mpumelelo dakika ya kwanza na kiungo chipukizi wa Kimataifa wa Tanzania, Abdul Suleiman Sopu dakika ya 42. Azam iliangukia kwenye mchezo wa kuwania nafasi ya tatu baada ya kufungwa 2-0 na Yanga kwenye mchezo wa Nusu Fainali Jumatano, wakati Singida Fountain Gate ilitolewa kwa penalti 4-2 na Simba baada sare ya bila kufungana hapo hapo Mkwakwani. Mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii utafuatia Saa 1:00 usiku hapo hapo Uwanja wa Mkwakwani baina ya Simba na Yanga.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment