// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
DODOMA JIJI WANG’ARA MECHI YA KWANZA YA LIGI KUU NYUMBANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEDODOMA JIJI WANG’ARA MECHI YA KWANZA YA LIGI KUU NYUMBANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
DODOMA JIJI WANG’ARA MECHI YA KWANZA YA LIGI KUU NYUMBANI
WENYEJI, Dodoma Jiji FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Unión katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Lakini haukuwa ushindi mwepesi kwa Dodoma Jiji, kwani walilazimika kutoka nyuma baada ya Coastal Unión kutangulia na bao la dakika ya 46 Hijja Ugando, kabla ya wenyeji hao kuzinduka kwa mabao ya kipa Justin Ndikumana aliyejifunga dakika y 54 na Meshack Abraham dakika ya 60. Dodoma Jiji wanakuwa wenyeji pekee leo kupata ushindi katika mechi za kwanza za msimu baada ya Ihefu kufungwa 1-0 Geita Gold Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya na Namungo FC kuchapwa 1-0 pia na JKT Tanzania Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
CAF Postpones Libya vs Nigeria
-
The Confederation of African Football (CAF) has officially confirmed the
postponement of the AFCON 2025 second-leg match between Nigeria’s Super
Eagles a...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment