// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
DODOMA JIJI WANG’ARA MECHI YA KWANZA YA LIGI KUU NYUMBANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEDODOMA JIJI WANG’ARA MECHI YA KWANZA YA LIGI KUU NYUMBANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
DODOMA JIJI WANG’ARA MECHI YA KWANZA YA LIGI KUU NYUMBANI
WENYEJI, Dodoma Jiji FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Unión katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Lakini haukuwa ushindi mwepesi kwa Dodoma Jiji, kwani walilazimika kutoka nyuma baada ya Coastal Unión kutangulia na bao la dakika ya 46 Hijja Ugando, kabla ya wenyeji hao kuzinduka kwa mabao ya kipa Justin Ndikumana aliyejifunga dakika y 54 na Meshack Abraham dakika ya 60. Dodoma Jiji wanakuwa wenyeji pekee leo kupata ushindi katika mechi za kwanza za msimu baada ya Ihefu kufungwa 1-0 Geita Gold Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya na Namungo FC kuchapwa 1-0 pia na JKT Tanzania Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment