ALIYEWAHI kuwa mchezaji wa timu ya Vijana ya Simba SC, Andrew Michael amejiunga na klabu ya Al Rams inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Falme za Kiarabu (UAE).
Mshambuliaji huyo chipukizi mwenye umri wa miaka 19 anakuwa mchezaji wa pili kutoka Afrika Mashariki kwenye kikosi cha Al Rama baada ya kiungo Mganda, Chris Akena.
0 comments:
Post a Comment